Friday, 20 January 2017

VideoMPYA: Mabibi na mabwana Fid Q amerudi tena kwenye TV zetu na ‘Kemosabe’

Posted at  January 20, 2017  |  in  


Ijumaa ya January 20 Fareed Kubanda aka Fid Q ameamua kuiwekea alama kwa kuachia video mpya ambayo ameipa jina la Kemosabe ambayo audio yake ilitoka August 13 ambayo ni kumbukumbu yake ya siku ya kuzaliwa.
Ukishaitazama video yenyewe sio mbaya ukibakisha na comment yako ili Fid Q akipita baadae ajue watu wake wameipokeaje……

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 maoni:

0758057161

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 UKWELI ZAIDI.
Powered by Themes24x7 .
back to top